Agano la Kale

Agano Jipya

Hesabu 25:11 Biblia Habari Njema (BHN)

“Finehasi mwana wa Eleazari, mwana wa kuhani Aroni, ameizuia hasira yangu dhidi ya Waisraeli; miongoni mwenu ni yeye tu aliyeona wivu kama nilio nao mimi. Ndio maana sikuwaangamiza Waisraeli wote kwa hasira yangu.

Kusoma sura kamili Hesabu 25

Mtazamo Hesabu 25:11 katika mazingira