Agano la Kale

Agano Jipya

Hesabu 27:14 Biblia Habari Njema (BHN)

kwa sababu hamkuitii amri yangu kule jangwani Sini. Wakati jumuiya yote ya watu walipolalamika juu yangu kule Meriba, hamkuacha utukufu wangu uonekane mbele yao walipotaka wapewe maji.” (Meriba ni chemchemi ya maji ya Kadeshi katika jangwa la Sini).

Kusoma sura kamili Hesabu 27

Mtazamo Hesabu 27:14 katika mazingira