Agano la Kale

Agano Jipya

Hesabu 27:4 Biblia Habari Njema (BHN)

Yeye hakuwa miongoni mwa wafuasi wa Kora waliokusanyika dhidi ya Mwenyezi-Mungu, bali alikufa kutokana na dhambi yake mwenyewe. Kwa nini basi jina la baba yetu lifutwe katika ukoo wake kwa sababu hakuwa na mtoto wa kiume? Tupe urithi pamoja na ndugu zake baba yetu.”

Kusoma sura kamili Hesabu 27

Mtazamo Hesabu 27:4 katika mazingira