Agano la Kale

Agano Jipya

Hesabu 28:6 Biblia Habari Njema (BHN)

Hii ni sadaka ya kutolewa kila siku inayoteketezwa kabisa motoni, ambayo ilitolewa kwa mara ya kwanza mlimani Sinai kama sadaka ya chakula, harufu nzuri ya kumpendeza Mwenyezi-Mungu.

Kusoma sura kamili Hesabu 28

Mtazamo Hesabu 28:6 katika mazingira