Agano la Kale

Agano Jipya

Hesabu 33:55 Biblia Habari Njema (BHN)

Lakini kama msipowafukuza wenyeji wa nchi hiyo kwanza, basi wale mtakaowaacha watakuwa kama vibanzi machoni mwenu au miiba kila upande, na watawasumbua.

Kusoma sura kamili Hesabu 33

Mtazamo Hesabu 33:55 katika mazingira