Agano la Kale

Agano Jipya

Hesabu 35:8 Biblia Habari Njema (BHN)

Idadi ya miji mtakayowapa Walawi katika urithi wa Waisraeli itategemea ukubwa wa kabila; kabila kubwa litatoa miji mingi na kabila dogo litatoa michache. Kila kabila litatoa miji yake kwa ajili ya Walawi kulingana na eneo litakalorithi.”

Kusoma sura kamili Hesabu 35

Mtazamo Hesabu 35:8 katika mazingira