Agano la Kale

Agano Jipya

Hesabu 5:15 Biblia Habari Njema (BHN)

basi wote wawili watakwenda kwa kuhani na kupeleka sadaka inayotakiwa, yaani sehemu ya kumi ya unga wa shayiri; lakini bila kuitia mafuta au ubani, kwa kuwa ni sadaka ya nafaka ya mume anayemshuku mkewe, sadaka inayotolewa kuhusu kosa ambalo linabainishwa.

Kusoma sura kamili Hesabu 5

Mtazamo Hesabu 5:15 katika mazingira