Agano la Kale

Agano Jipya

Hesabu 5:8 Biblia Habari Njema (BHN)

Lakini ikiwa mtu huyo amefariki na hana jamaa wa karibu ambaye anaweza kupokea fidia hiyo, basi, fidia ya kosa itatolewa kwa Mwenyezi-Mungu kwa ajili ya makuhani; malipo haya ni pamoja na kondoo dume wa upatanisho ambaye atatumiwa kumfanyia upatanisho kwa ajili ya dhambi yake.

Kusoma sura kamili Hesabu 5

Mtazamo Hesabu 5:8 katika mazingira