Agano la Kale

Agano Jipya

Hesabu 7:72-76 Biblia Habari Njema (BHN)

72. Siku ya kumi na moja ikawa zamu ya Pagieli mwana wa Okrani, kiongozi wa kabila la Asheri.

73. Sadaka yake ilikuwa: Sahani ya fedha ya kilo moja u nusu na bakuli moja la fedha la gramu 800 kadiri ya vipimo vya hema takatifu vikiwa vimejazwa unga laini uliochanganywa na mafuta kwa ajili ya sadaka ya nafaka;

74. kisahani kimoja cha dhahabu cha gramu 110 kilichokuwa kimejazwa ubani;

75. fahali mmoja mchanga, kondoo dume mmoja wa mwaka mmoja kwa ajili ya sadaka ya kuteketezwa;

76. beberu mmoja kwa ajili ya sadaka ya kuondoa dhambi;

Kusoma sura kamili Hesabu 7