Agano la Kale

Agano Jipya

Hesabu 8:19 Biblia Habari Njema (BHN)

na nimempa hao Aroni na wanawe, kama zawadi kutoka kwa Waisraeli, ili wafanye kazi katika hema la mkutano kwa ajili ya Waisraeli na kuwafanyia upatanisho ili pasitokee pigo miongoni mwa Waisraeli wakikaribia mahali patakatifu.”

Kusoma sura kamili Hesabu 8

Mtazamo Hesabu 8:19 katika mazingira