Agano la Kale

Agano Jipya

Hosea 1:2 Biblia Habari Njema (BHN)

Mwenyezi-Mungu alipoanza kuongea na Waisraeli kwa njia ya Hosea, alimwambia hivi: “Nenda ukaoe mwanamke mzinzi, uzae naye watoto wa uzinzi, maana watu wa nchi hii wanafanya uzinzi mwingi kwa kuniacha mimi.”

Kusoma sura kamili Hosea 1

Mtazamo Hosea 1:2 katika mazingira