Agano la Kale

Agano Jipya

Hosea 3:5 Biblia Habari Njema (BHN)

Baadaye, Waisraeli watarudi na kumtafuta Mwenyezi-Mungu, Mungu wao, na kumtafuta mfalme wao, mzawa wa Daudi. Ndipo watakapomcha Mwenyezi-Mungu, na kutazamia wema wake siku za mwisho.

Kusoma sura kamili Hosea 3

Mtazamo Hosea 3:5 katika mazingira