Agano la Kale

Agano Jipya

Hosea 7:1 Biblia Habari Njema (BHN)

Kila nikitaka kuwarekebisha watu wangu,ninapotaka kuwaponya Waisraeli,uovu wa watu wa Efraimu hufunuliwa,matendo mabaya ya Samaria hujitokeza.Wao huongozwa na udanganyifu,kwenye nyumba wezi huvunjanje barabarani wanyang'anyi huvamia.

Kusoma sura kamili Hosea 7

Mtazamo Hosea 7:1 katika mazingira