Agano la Kale

Agano Jipya

Hosea 9:4 Biblia Habari Njema (BHN)

Hawatamtolea Mwenyezi-Mungu sadaka ya divai,wala hawatamfurahisha kwa tambiko zao.Chakula chao kitakuwa kama cha matanga,wote watakaokila watatiwa unajisi.Kitakuwa chakula cha kuwashibisha tu,hakitafaa kuletwa nyumbani kwa Mwenyezi-Mungu.

Kusoma sura kamili Hosea 9

Mtazamo Hosea 9:4 katika mazingira