Agano la Kale

Agano Jipya

Isaya 10:14 Biblia Habari Njema (BHN)

Kama mtu anyoshaye mkono kwenye kiota,ndivyo nilivyochukua mali yao;kama mtu aokotavyo mayai yaliyoachwa kiotani,ndivyo nilivyowaokota duniani kote,wala hakuna mtu aliyeweza kupiga bawa,au aliyefungua kinywa kunipigia kelele.”Lakini Mwenyezi-Mungu asema hivi:

Kusoma sura kamili Isaya 10

Mtazamo Isaya 10:14 katika mazingira