Agano la Kale

Agano Jipya

Isaya 18:7 Biblia Habari Njema (BHN)

Wakati huo, Mwenyezi-Mungu wa majeshi ataletewa tambiko kutoka kwa watu warefu wenye ngozi laini, watu watishao karibu na mbali, taifa la watu wenye nguvu na ushindi, ambalo ardhi yake imegawanywa na mito. Ataletewa tambiko hizo mlimani Siyoni anapoabudiwa yeye Mwenyezi-Mungu wa majeshi.

Kusoma sura kamili Isaya 18

Mtazamo Isaya 18:7 katika mazingira