Agano la Kale

Agano Jipya

Isaya 20:6 Biblia Habari Njema (BHN)

Wakati huo, wakazi wa pwani ya Filistia watasema, ‘Tazameni yaliyowapata watu tuliowategemea na kuwakimbilia kuomba msaada watuokoe na mfalme wa Ashuru! Na sasa, sisi tutawezaje kusalimika?’”

Kusoma sura kamili Isaya 20

Mtazamo Isaya 20:6 katika mazingira