Agano la Kale

Agano Jipya

Isaya 36:12 Biblia Habari Njema (BHN)

Yule mkuu wa matowashi akawaambia, “Je unadhani bwana wangu amenituma kutoa ujumbe huu kwa bwana wenu na kwenu wenyewe tu? Maneno yangu ni pia kwa watu wanaokaa ukutani! Muda si muda wao kama vile nyinyi itawabidi kula mavi yao wenyewe na kunywa mikojo yao wenyewe!”

Kusoma sura kamili Isaya 36

Mtazamo Isaya 36:12 katika mazingira