Agano la Kale

Agano Jipya

Isaya 66:17 Biblia Habari Njema (BHN)

Mwenyezi-Mungu asema hivi: “Wapo watu wanaojitakasa na kutawadha wapate kuingia kwenye bustani za ibada za sanamu; wanafanya maandamano na kuhani akiwa kati yao. Watu hao hula nguruwe, panya na vyakula vingine haramu. Watu hao hakika watakufa wote pamoja.

Kusoma sura kamili Isaya 66

Mtazamo Isaya 66:17 katika mazingira