Agano la Kale

Agano Jipya

Isaya 9:17 Biblia Habari Njema (BHN)

Kwa hiyo, Mwenyezi-Mungu hawahurumii vijana wao,hana huruma juu ya yatima na wajane wao;kwani hakuna hata mmoja amchaye Mungu,kila mtu husema uongo.Hata hivyo, hasira yake haijatulia,bado ameunyosha mkono wake.

Kusoma sura kamili Isaya 9

Mtazamo Isaya 9:17 katika mazingira