Agano la Kale

Agano Jipya

Kumbukumbu La Sheria 12:1 Biblia Habari Njema (BHN)

“Yafuatayo ni masharti na maagizo ambayo mtayatimiza katika nchi ambayo Mwenyezi-Mungu, Mungu wa babu zenu, amewapa muimiliki, siku zote za maisha yenu nchini.

Kusoma sura kamili Kumbukumbu La Sheria 12

Mtazamo Kumbukumbu La Sheria 12:1 katika mazingira