Agano la Kale

Agano Jipya

Kumbukumbu La Sheria 26:12 Biblia Habari Njema (BHN)

Kila baada ya miaka mitatu, kila mmoja wenu atatoa sehemu moja ya kumi ya mazao yake yote kwa ajili ya Walawi na wageni, yatima na wajane, ili wapate chakula chote wanachohitaji wanapokuwa katika miji yenu.

Kusoma sura kamili Kumbukumbu La Sheria 26

Mtazamo Kumbukumbu La Sheria 26:12 katika mazingira