Agano la Kale

Agano Jipya

Kumbukumbu La Sheria 29:18 Biblia Habari Njema (BHN)

Chukueni hadhari kwamba hakuna mwanamume, mwanamke, jamaa au kabila lolote linalosimama hapa leo litakalomwacha Mwenyezi-Mungu, Mungu wetu, kwenda kutumikia miungu ya mataifa mengine. Jambo hili litakuwa kama mzizi utakaomea na kuzaa matunda machungu yenye sumu.

Kusoma sura kamili Kumbukumbu La Sheria 29

Mtazamo Kumbukumbu La Sheria 29:18 katika mazingira