Agano la Kale

Agano Jipya

Kumbukumbu La Sheria 34:9 Biblia Habari Njema (BHN)

Yoshua mwana wa Nuni alijaa roho ya hekima, kwa kuwa Mose alikuwa amemwekea mikono yake. Hivyo Waisraeli walimtii Yoshua na kufuata amri ambazo Mwenyezi-Mungu alimpa Mose.

Kusoma sura kamili Kumbukumbu La Sheria 34

Mtazamo Kumbukumbu La Sheria 34:9 katika mazingira