Agano la Kale

Agano Jipya

Kumbukumbu La Sheria 6:24-25 Biblia Habari Njema (BHN)

24. Basi, Mwenyezi-Mungu alituamuru kuzitii kanuni hizi zote na kumcha kwa faida yetu wenyewe; apate kutulinda daima kama hivi leo.

25. Tena tutakuwa waadilifu kama tukitimiza kwa uangalifu amri hizi zote mbele ya Mwenyezi-Mungu, Mungu wetu, kama alivyotuamuru’.

Kusoma sura kamili Kumbukumbu La Sheria 6