Agano la Kale

Agano Jipya

Kutoka 10:3 Biblia Habari Njema (BHN)

Basi, Mose na Aroni wakamwendea Farao na kumwambia, “Mwenyezi-Mungu, Mungu wa Waebrania, anasema hivi, ‘Mpaka lini utakataa kujinyenyekesha mbele yangu? Waache watu wangu waondoke ili wapate kunitumikia.

Kusoma sura kamili Kutoka 10

Mtazamo Kutoka 10:3 katika mazingira