Agano la Kale

Agano Jipya

Kutoka 11:8 Biblia Habari Njema (BHN)

Mose akamalizia kwa kumwambia Farao, “Watumishi wako hawa watanijia na kuinama mbele yangu kwa heshima, wakinisihi niondoke nchini Misri, mimi pamoja na watu wote wanaonifuata. Baada ya hayo, nitaondoka.” Kisha Mose, huku akiwa ameghadhabika, akaondoka kwa Farao.

Kusoma sura kamili Kutoka 11

Mtazamo Kutoka 11:8 katika mazingira