Agano la Kale

Agano Jipya

Kutoka 14:25 Biblia Habari Njema (BHN)

Aliyakwamisha magurudumu ya magari yao, yakawa yakienda kwa shida sana. Hapo Wamisri wakasema, “Tuwakimbie Waisraeli; Mwenyezi-Mungu anawapigania Waisraeli dhidi yetu.”

Kusoma sura kamili Kutoka 14

Mtazamo Kutoka 14:25 katika mazingira