Agano la Kale

Agano Jipya

Kutoka 16:15 Biblia Habari Njema (BHN)

Waisraeli walipoona kitu hicho walishangaa, wakaulizana, “Nini hiki?” Hawakujua kilikuwa kitu gani. Basi, Mose akawaambia, “Huu ni mkate ambao Mwenyezi-Mungu amewapa mle.

Kusoma sura kamili Kutoka 16

Mtazamo Kutoka 16:15 katika mazingira