Agano la Kale

Agano Jipya

Kutoka 16:31 Biblia Habari Njema (BHN)

Waisraeli walikiita chakula hicho “Mana.” Kilikuwa kama mbegu za mtama mweupe na ladha yake ilikuwa kama mkate mwembamba uliotiwa asali.

Kusoma sura kamili Kutoka 16

Mtazamo Kutoka 16:31 katika mazingira