Agano la Kale

Agano Jipya

Kutoka 24:7 Biblia Habari Njema (BHN)

Kisha akachukua kitabu cha agano la Mwenyezi-Mungu, akakisoma mbele ya watu, nao wakasema, “Hayo yote aliyoyasema Mwenyezi-Mungu, tutayafanya, nasi tutakuwa watiifu.”

Kusoma sura kamili Kutoka 24

Mtazamo Kutoka 24:7 katika mazingira