Agano la Kale

Agano Jipya

Kutoka 29:28 Biblia Habari Njema (BHN)

Hivyo Waisraeli daima watachukua sehemu hizo kutoka katika sadaka zao za amani wanazonitolea mimi Mwenyezi-Mungu na kumpa Aroni na wanawe. Hiyo ni sadaka yao kwa Mwenyezi-Mungu.

Kusoma sura kamili Kutoka 29

Mtazamo Kutoka 29:28 katika mazingira