Agano la Kale

Agano Jipya

Malaki 1:14 Biblia Habari Njema (BHN)

Na alaaniwe mtu yeyote anidanganyaye, ambaye huahidi kwa kiapo kunitolea tambiko mnyama safi kutoka katika kundi lake, lakini hunitolea tambiko mnyama mwenye kilema. Tazama, mimi ni mfalme mkuu, na watu wa mataifa yote hunicha.”

Kusoma sura kamili Malaki 1

Mtazamo Malaki 1:14 katika mazingira