Agano la Kale

Agano Jipya

Malaki 2:6 Biblia Habari Njema (BHN)

Mafundisho yao yalikuwa ya kweli na kamwe hawakufundisha uongo. Mimi na wao tulikaa kwa amani. Si kwamba walitenda haki tu, bali waliwafundisha wengine kutotenda maovu.

Kusoma sura kamili Malaki 2

Mtazamo Malaki 2:6 katika mazingira