1. Hizi ni methali za Solomoni:Mtoto mwenye hekima ni furaha ya baba yake;lakini mtoto mpumbavu ni huzuni ya mama yake.
2. Mali iliyopatikana kwa njia mbaya haifai,lakini uadilifu huokoa mtu kutoka kifoni.
3. Mwenyezi-Mungu hawaachi waadilifu wapate njaa,lakini huzipinga tamaa za waovu.