Agano la Kale

Agano Jipya

Methali 10:1-3 Biblia Habari Njema (BHN)

1. Hizi ni methali za Solomoni:Mtoto mwenye hekima ni furaha ya baba yake;lakini mtoto mpumbavu ni huzuni ya mama yake.

2. Mali iliyopatikana kwa njia mbaya haifai,lakini uadilifu huokoa mtu kutoka kifoni.

3. Mwenyezi-Mungu hawaachi waadilifu wapate njaa,lakini huzipinga tamaa za waovu.

Kusoma sura kamili Methali 10