Agano la Kale

Agano Jipya

Mwanzo 2:9 Biblia Habari Njema (BHN)

Mwenyezi-Mungu akaotesha kutoka ardhini kila aina ya miti mizuri izaayo matunda yafaayo kwa chakula. Katikati ya bustani hiyo kulikuwa na mti wa uhai na mti wa ujuzi wa mema na mabaya.

Kusoma sura kamili Mwanzo 2

Mtazamo Mwanzo 2:9 katika mazingira