Agano la Kale

Agano Jipya

Mwanzo 20:9 Biblia Habari Njema (BHN)

Ndipo Abimeleki akamwita Abrahamu, akamwuliza, “Umetutendea nini? Nimekukosea nini hata ukaniletea balaa hili mimi na ufalme wangu? Umenitendea mambo yasiyostahili kutendwa.”

Kusoma sura kamili Mwanzo 20

Mtazamo Mwanzo 20:9 katika mazingira