Agano la Kale

Agano Jipya

Mwanzo 22:8 Biblia Habari Njema (BHN)

Abrahamu akamjibu, “Mwanangu, Mungu mwenyewe atatujalia mwanakondoo wa sadaka ya kuteketezwa.” Basi, wakaendelea na safari yao.

Kusoma sura kamili Mwanzo 22

Mtazamo Mwanzo 22:8 katika mazingira