Agano la Kale

Agano Jipya

Mwanzo 24:32 Biblia Habari Njema (BHN)

Basi, mtumishi huyo wa Abrahamu akaingia nyumbani. Labani akawafungua ngamia na kuwapatia majani ngamia wake, akampa yeye na watu wake maji ya kunawa miguu.

Kusoma sura kamili Mwanzo 24

Mtazamo Mwanzo 24:32 katika mazingira