Agano la Kale

Agano Jipya

Mwanzo 36:18 Biblia Habari Njema (BHN)

Watoto wa kiume wa Oholibama, mkewe Esau, walikuwa Yeushi, Yalamu na Kora, kila mmoja wao akiwa mkuu wa kabila lake. Hao wote ni watoto wa kiume wa Oholibama, binti Ana, mkewe Esau.

Kusoma sura kamili Mwanzo 36

Mtazamo Mwanzo 36:18 katika mazingira