Agano la Kale

Agano Jipya

Mwanzo 36:35 Biblia Habari Njema (BHN)

Hushamu alipofariki, Hadadi mwana wa Bedadi alitawala badala yake, makao yake makuu yakiwa katika mji wa Avithi. Huyu ndiye aliyewapiga na kuwashinda Wamidiani katika nchi ya Moabu.

Kusoma sura kamili Mwanzo 36

Mtazamo Mwanzo 36:35 katika mazingira