Agano la Kale

Agano Jipya

Mwanzo 38:9 Biblia Habari Njema (BHN)

Lakini Onani alijua kwamba hao watoto wasingekuwa wake. Kwa hiyo, alipolala na mke wa nduguye, alimwaga chini mbegu ya uzazi, asije akampatia nduguye watoto.

Kusoma sura kamili Mwanzo 38

Mtazamo Mwanzo 38:9 katika mazingira