Agano la Kale

Agano Jipya

Mwanzo 40:8 Biblia Habari Njema (BHN)

Wakamjibu, “Tuna huzuni kwa kuwa tumeota ndoto na hakuna awezaye kututafsiria ndoto zetu.” Yosefu akawaambia, “Je, kutafsiri ndoto si kazi ya Mungu? Basi, niambieni ndoto zenu.”

Kusoma sura kamili Mwanzo 40

Mtazamo Mwanzo 40:8 katika mazingira