Agano la Kale

Agano Jipya

Mwanzo 41:42 Biblia Habari Njema (BHN)

Ndipo, Farao akaivua pete yake ya mhuri kidoleni mwake na kumvisha Yosefu, akamvalisha na mavazi ya kitani safi na mkufu wa dhahabu shingoni.

Kusoma sura kamili Mwanzo 41

Mtazamo Mwanzo 41:42 katika mazingira