Agano la Kale

Agano Jipya

Mwanzo 42:16 Biblia Habari Njema (BHN)

Mtumeni mmoja wenu akamlete huyo ndugu yenu mdogo, wakati wengine wenu wanamngoja gerezani. Hapo ndipo maneno yenu yatakapojulikana ukweli wake. La sivyo, naapa kwa jina la Farao kwamba nyinyi ni wapelelezi.”

Kusoma sura kamili Mwanzo 42

Mtazamo Mwanzo 42:16 katika mazingira