Agano la Kale

Agano Jipya

Mwanzo 48:20 Biblia Habari Njema (BHN)

Basi, Israeli akawabariki siku hiyo, akisema,“Waisraeli watayatumia majina yenu kubarikia,watasema, ‘Mungu akutendee mema kama Efraimu na Manase!’”Ndivyo Israeli alivyomweka Efraimu mbele ya Manase.

Kusoma sura kamili Mwanzo 48

Mtazamo Mwanzo 48:20 katika mazingira