Agano la Kale

Agano Jipya

Mwanzo 50:11 Biblia Habari Njema (BHN)

Wakanaani wenyeji wa nchi hiyo, walipoyaona maombolezo yaliyofanywa kwenye uwanja wa kupuria nafaka wa Atadi, wakasema, “Maombolezo haya ya Wamisri, kweli ni makubwa!” Kwa hiyo, mahali pale pakaitwa Abel-misri, napo pako ngambo ya mto Yordani.

Kusoma sura kamili Mwanzo 50

Mtazamo Mwanzo 50:11 katika mazingira