Agano la Kale

Agano Jipya

Mwanzo 50:13 Biblia Habari Njema (BHN)

Walimchukua mpaka nchi ya Kanaani, wakamzika katika pango lililokuwa katika shamba kule Makpela, mashariki ya Mamre. Pango pamoja na shamba hilo Abrahamu alikuwa amelinunua kwa Efroni Mhiti, ili pawe mahali pake pa kuzikia.

Kusoma sura kamili Mwanzo 50

Mtazamo Mwanzo 50:13 katika mazingira