Agano la Kale

Agano Jipya

Nehemia 10:34 Biblia Habari Njema (BHN)

Sisi sote, watu wote, makuhani na Walawi tutapiga kura kila mwaka ili kuchagua ukoo utakaoleta kuni za kuteketeza tambiko madhabahuni pa Mwenyezi-Mungu, Mungu wetu, kama sheria ilivyo.

Kusoma sura kamili Nehemia 10

Mtazamo Nehemia 10:34 katika mazingira