Agano la Kale

Agano Jipya

Nehemia 10:37 Biblia Habari Njema (BHN)

Kila unga wetu wa kwanza, matoleo yetu, matunda ya miti, divai na mafuta tutavileta kwa kuhani kwenye vyumba vya nyumba ya Mungu wetu. Tena tutaleta zaka zetu za mazao yetu kwa Walawi, kwani ndio wanaohusika na ukusanyaji wa zaka hizo katika vijiji vyetu.

Kusoma sura kamili Nehemia 10

Mtazamo Nehemia 10:37 katika mazingira